Mwana FA "Mimi Sichangii Harusi ya Mtu yeyote"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Mimi sichangii harusi ya mtu yeyote, ukifiwa nitakuchangia kwa sababu hilo hukulipanga, harusi wewe umepanga mwakani unaoana unaweza kukusanya hela zako.”

“Pili, unatakiwa uoe kwa urefu wa mfuko wako. Kwanini utuchangishe wote kama sisi wote tunaenda kuoa? aliyekwambia ndoa lazima watu wapambe maukumbi na wanywe ni nani? gauni la bibi harusi ni gharama kubwa. What’s the point? Kitu kikubwa ni maisha yenu kwamba mnaweza kuishi sawa" - Ameshema Mh.MwanaFA mbunge wa Muheza ambaye pia ni mwanamuziki maarufu

Ikumbukwe msanii huyo licha umaarufu alionao lakini miaka michache iliyopita alioa kimya kimya

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad