AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Mimi sichangii harusi ya mtu yeyote, ukifiwa nitakuchangia kwa sababu hilo hukulipanga, harusi wewe umepanga mwakani unaoana unaweza kukusanya hela zako.”
“Pili, unatakiwa uoe kwa urefu wa mfuko wako. Kwanini utuchangishe wote kama sisi wote tunaenda kuoa? aliyekwambia ndoa lazima watu wapambe maukumbi na wanywe ni nani? gauni la bibi harusi ni gharama kubwa. What’s the point? Kitu kikubwa ni maisha yenu kwamba mnaweza kuishi sawa" - Ameshema Mh.MwanaFA mbunge wa Muheza ambaye pia ni mwanamuziki maarufu
Ikumbukwe msanii huyo licha umaarufu alionao lakini miaka michache iliyopita alioa kimya kimya
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK