Thabo Bester, Dr Nandipha warejeshwa Sauzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wawakilishi wa ngazi za juu wa serikali ya Afrika Kusini watasafiri kuja Tanzania kufuatia kukamatwa kwa mfungwa Thabo Bester aliyetoroka gerezani wakati akitumikia kifungo cha maisha nchini Afrika Kusini.


Thabo Bester na washirika wake wawili walikamatwa na maafisa usalama wa Tanzania Aprili 8 jijini Arusha kufuatia uwepo kwa hati ya kukamatwa kwake baada ya kutoroka gerezani.


Kwa mujibu wa kipindi cha televisheni cha #TheAgenda kinachorushwa na shirika la utangazaji la Afrika Kusini, SABC wawakilishi hao watakuja kuwachukua Thabo Bester na washirika wake wawili, Dkt. Nandipha Magudumana na raia wa Msumbiji Zakaria Alberto.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad