Mfanyakazi wa Benki Awaua Wafanyakazi Wenzake Watano Kwa Kuwapiga Risasi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mfanyakazi wa Benki ya Old City Bank iliyopo Louisville, Kentucky nchini Marekani amewaua kwa kuwapiga risasi wafanyakazi wenzake watano wa benki hiyo huku wengine 9 wakijeruhiwa ambapo alikuwa akijirekodi na kurusha tukio zima mubashara kupitia akaunti yake ya Instagram.

Aliyefanya tukio hilo, anatajwa kuwa ni Connor Sturgeon (25) ambaye siku chache zilizopita, alipewa taarifa kwamba atafukuzwa kazi.

Polisi wameeleza kuwa mtuhumiwa alikuwa akitumia bunduki aina ya AR-15-style ambapo polisi walifika haraka eneo la tukio na kujaribu kumdhibiti lakini ikashindikana ndipo walipoamua kumpiga risasi na kumuua.

Kampuni ya Meta inayomiliki Instagram, imeifuta video ya tukio hilo, muda mfupi baadaye.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad