Utani wa Papa akitoka Hospitali: Asema bado yupo yupo sana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis ambaye alikuwa amelazwa kwa siku tatu Hospitali mjini Roma kwa maradhi ya kupumua, ameruhusiwa baada ya hali yake kuimarika, huku akisema kwa kutania kuwa bado yuko hai.


Papa Fransis, alilazwa katika Hospitali ya Gemelli nchini Italia katikati ya wiki, akiwa na matatizo hayo ya kupumua, ambapo Wasemaji wa Vatican walikitoa taarifa kuwa atatoka hii leo Jumamosi April mosi, 2023 baada ya matokeo ya vipimo.

Papa huyo ambaye kwasasa ana umri wa miaka 86, amesema, “sikuwa na hofu, bado niko hai,” akiwaambia Waandishi wa Habari na Waombezi wa Heri nje ya Hospitali kabla ya kuruhusiwa kuondoka eneo hilo.


Hata hivyo, alionekana akiwa na nyuso ya tabasamu na kupunga mkono akiwa kwenye gari, kabla ya kutoka nje kuzungumza na umati. Kisha akaelekea makao makuu ya makazi yake Vatican.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad