Ahmed Ally 'Simba Imetoa Wachezaji Wengi Wanaowania Tuzo za Ligi Kuu Tanzania'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Simba ndio timu iliyotoa wachezaji wengi katika orodha ya wachezaji wanaowania tuzo za Ligi kuu ya NBC

Jumla tumetoa wachezaji 7 na Wawili wamejirudia hivyo wapo 9

Hii ni ishara kuwa tunawachezaji wenye ubora wa hali ya juu sana, Ubora wao unaweza usionekane kwa sababu hatujatimiza malengo yetu msimu huu lakini ukweli utabaki kuwa tuna wachezaji bora mnoo

Kifuatacho sasa tuongeze bora wengine ili tutengeneze kikosi bora cha misimu ijayo

Hongereni wachezaji wote wa Simba mlioteuliwa kuwania tuzo mbalimbali
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad