AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapa machachari Dogo Janja, amesema hajawahi kuwa na ugomvi na aliyekuwa mkewe, muigizaji Irene Uwoya.
Janja ameyasema hayo usiku wa kuamkia leo alipokuwa kwenye shoo pande Temeke jijini Dar.
"Sijawahi kugombana naye ndio maana umeona amekuja jukwaani na kunitunza. Tumezunguka naye kwenye mikoa mingi nilipokuwa nafanya naye hizi shoo, kuachana na mtu sio sababu ya kugombana," alisema Dogo Janja.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK