AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Wakati nimemaliza masomo na kuanza kazi sikutaka kabisa kuwa mwanasiasa kwasababu nilikua nikiwaangalia wanasiasa hawaleweki na ni wajanja wajanja sana," - Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee anaendelea kufunguka kupitia #GoodMornig ya @wasafifm muda huu.
Kwasasa nipo Likizo ( nje ya Operation za Chama ) kutokana na Kesi . Lakini nazimiss sana harakati, unachaaje Kuzimiss Harakati Wakati Umekullia katika Hayo mambo “ - Mhe . Halima Mdee ( Mbunge Viti Maalumu )
Mbowe ana Mchango mkubwa sana Kwangu Kisiasa . Kama nilivyosema mimi na ZITTO tulikua wadogo sana yeye akatuona akatushika Mkono " - Mhe. Halima Mdee ( Mbunge Viti Maalumu - CHADEMA)
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK