Mabasi Yaruhusiwa Kuanza Safari Saa Tisa za Usiku

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeruhusu Mabasi ya Mikoani yaanze safari saa tisa usiku ambapo imeagiza Wamiliki wa Mabasi wanaopenda kuanza safari muda huo wafike katika Ofisi za Mamlaka hiyo kuomba leseni na masharti ni lazima Madereva wasajiliwe ili kuwa na taarifa zao.

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa LATRA, Salum Pazzy ametoa kauli hiyo leo Dar es salaam akiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa), Priscus Joseph.

Pazzy amesema LATRA inafanya kazi kwa kushirikisha na Wadau wakiwamo TABOA na hawana mvutano kuhusu muda wa kuanza safari za Mabasi kwenda Mikoani.

"Tunafanya kazi kwa kushirikiana, suala la kubadilisha ratiba za Mabasi awali muda ulikuwa ni yote lazima yaanze safari saa 12 asubuhi si zaidi ya hapo, lakini baadaye tuliruhusu ratiba zianze saa 11 asubuhi”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad