Majizzo "Ni Rahisi Kuigiza Maskin Kuliko kuigiza Tajiri"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Majizzo ameaminisha Watanzania kwamba ni rahisi sana Tajiri kuigiza ni Maskini ila ni Vigumu sana Maskini kuigiza ni Tajiri.

Kuigiza ni tajiri ni Gharama sana, Maskini hawezi kabisa, Zaidi atachanika Msamba na Kufanya mambo ambayo hayakubaliki katika Jamii.

Ushauri wa Bure!

Kijana Usiishi maisha yako Halisi, utadharaulika. Igiza kidogo wala usizidishe sana. Ule ushauri kwamba Ishi maisha yako upuuze, Jiji la DAR Bila Mbwembwe hutoboi, ukikaa kinyonge na Kujifanya Maskini utachukuliwa Poa.


Fake until you Make it!!

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad