AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wataalamu wa uchunguzi wa kisayansi wameanzisha upasuaji ya miili zaidi ya 100 iliyofukuliwa kwenye Shamba la Muhubiri Paul Mackenzie anayedaiwa kuwashawishi wafuasi wake kufunga kula hadi kufa ili wakakutane na Muumba wao.
Kwa mujibu wa mpasuaji mkuu wa serikali, Johansen Oduor amesema wachunguzi hao pia watachukua sampuli za DNA kusaidia katika utambuzi, ingawa matokeo kamili yanaweza kuchukua miezi kadhaa.
Mfungo wa kifo: Makaburi 12 yagunduliwa, mmoja aokolewa
Polisi wafukua miili ya watatu, mama na watoto wawili
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Kenya Kithure Kindiki akizungumza nje ya chumba cha kuifadhi maiti mjini Malindi, alisema shughuli hiyo inaanza kutekelezwa mara moja na inatarajiwa kuchukuwa muda wa wiki moja.
Paul Mackenzie Nthenge, dereva wa zamani wa teksi ambaye alianzisha dhehebu la Kikristo la Good News International Church, anashutumiwa kuwa aliwaambia wafuasi wake kwamba njaa ni kibali cha kwenda kwa Mungu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK