AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Polisi katika jiji la Ankara nchini Uturuki, wameanza upelelzi katika maduka ya kuuza maua ya ndani ya jiji hilo, ili kuwakamata wauza maua wanaouzia watu maua yaliyoibwa makaburini.
Upelelzi huo wa Polisi, unafuatia ripoti za raia wema katika vituo vya polisi wakilalamikia kuibwa kwa maua na mapambo mengine ikiwemo mishumaa ya thamani katika makaburi ya wapendwa wao.
Polisi wanasema, wizi huo unatokana na watu wengi kukosa fedha za kununulia maua na mapambo mapya katika maduka, na hivyo kulazimika kununua maua yaliyokaa dukani kwa juma moja au zaidi.
Hatua hiyo imesababisha wezi huvamia makaburini na kuiba maua na kwenda kuyauza katika mduka hayo, jambo lililowafanya Polisi kutaka kubaini maduka yanayoshawishi wezi kuiba maua makaburini na kisha kuyanunua ili kuyauza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK