RC Chamila Atumia Bajaji Apita Mwenge na Ubungo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Leo hii nimetembea Mwenge, Ubungo na nilitumia usafiri wa Bajaj lengo lilikuwa ni kuangalia 'impact' ya moja kwa moja iliyopo kati ya ufungwaji wa maduka pamoja na wafanyabiashara na wachuuzi ambao wanapatikana pembezone mwa Kariakoo.

"Jambo ambalo nimeligundua kama hali itakuwa hivi ilivyo maana yake impact yake itakuwa ni kubwa kwa Wafanyabiashara wachuuzi ambao wanaganga karibu kila siku huku mtaani lazima kwa namna yoyote ile itaathiri biashara zao. Na Mhe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameonyesha nia ya kutatua huo mgogoro na ndio lengo kubwa la Rais Samia Suluhu Hassan kwamba si kumkandamiza Mfanyabiashara" Albert Chalamila, Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad