Mayele sio Mshambuliaje Namba Moja Afrika, Ingia Hersi Anampamba tu Mshambuliaji wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




"Ukizungumzia Fiston Mayele kama moja ya washambuliaji bora hapa Afrika hapo nakubali, lakini ukisema Mayele ni nambari moja Afrika hapo siwezi kukubaliana na Injinia Hersi, anampamba tu mchezaji wake"

"Afrika kuna washambuliaji bora kama wakina Hamza Khabba, Peter Shalulile, Kahraba wanafanya vizuri kwenye klabu bingwa lakini Mayele anafanya vizuri kwenye Shirikisho"

- Maneno ya Mchambuzi @tiganatz wa Efm Tanzania, baada ya Injinia Hersi kusema kuwa Fiston Mayele ndiyo mshambuliaji bora namba moja Afrika kwa sasa

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad