AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
William Ruto |
Rais William Ruto amesema kuwa kupunguza bei ya Mitungi ya Gesi kutoka Ksh. 2800 (Tsh. 48,000) hadi Ksh.300 na Ksh.500 (Tsh. 5155 na 8592) kwa Kilogramu 6 haitawezekana ifikapo Juni 2023 kama alivyokuwa ameahidi Machi 2, 2023
Katika mahojiano ya na Waandishi wa Habari Ikulu, Jijini Nairobi, Ruto alisema idhini ya mpango huo inapaswa kutolewa katika Bajeti ya Mwaka ujao wa Fedha ambao utaanza Julai Mosi, 2023 baada ya kuwezesha Mazingira ya ufutaji wa ushuru katika Mafuta.
Amesema, "Kwanza lazima tuiidhinishe katika bajeti. Kwa sasa, hakuna njia ya kuondoa ushuru hadi bajeti mpya ipitishwe. Juni 1 haiwezekani mpaka tuipeleke Bungeni. Tutafanya pia marekebisho ya kodi inayotozwa kwenye mafuta ya taa ili kupunguza bei ya gesi."
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK