Simba, Yanga, Azam na Singida wote kucheza Ngao ya Jamii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Simba, Yanga, Azam na Singida wote kucheza Ngao ya Jamii


Kabla ya kuanza kwa msimu huu 2022/23 kulifanyika mabadiliko ya kanuni za ligi kuu ya NBC mojawapo ya mabadiliko ni kanuni ya (19:1) kuhusu mchezo wa Ngao ya jamii ambapo kwa sasa kutakuwa na shindano la Ngao ya Jamii na sio mchezo mmoja.

Kanuni ya 19.1 inasema kutakuwa na shindano la Ngao ya jamii, ambapo timu tatu (3) za juu kwenye ligi kuu ya NBC na Bingwa wa kombe la shirikisho (ASFC) zitacheza mchuano huo maalumu. Endapo Bingwa wa FA yumo kwenye timu (3) za juu, basi ataingia anayeshika nafasi ya (4) kwenye ligi kuu.

Kwa Sasa ilivyo ni wazi Yanga, Simba, Azam na Singida ndio zitakazocheza shindano maalumu kwa kuanza kwa michezo ya nusu fainali.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad