USM Algiers: Tuanataka kuwafunga Yanga kistaarabu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wakati Yanga wakijiandaa kuwavaa USM Algiers kutoka Algeria kwa mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho katika Uwanja wa Mkapa kesho Jumapili.

Kocha wa USM Algiers amesifu uungwana wa wenyeji wao na kusema kuwa hata ushindi wao kesho utakuwa wa kistaarabu.

"Tunataka kuwafunga Yanga kistaarabu kama ambavyo wametupokea kistaarabu hawajatufanyia Fujo kama ambavyo waliwafanyia Wengine walipokuja Hapa, kusema ukweli wametupa heshima so hatutaki kuondoa heshima hiyo kwa kuwafunga magoli mengi tunataka kuwafunga magoli mawili tu kistaarabu"

Mei 28 Fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho itapigwa Jijini Dar kisha mchezo wa mkondo wa pili utapigwa Juni 3.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad