AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KLABU ya Yanga imeendelea kuusogelea ubingwa wa Ligi ya NBC mara baada ya kufanikiwa kuichapa Singida Big Star kwa mabao 2-0, mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Liti mkoani Singida.
Yanga ilianza kupata bao la mapema kupitia kwa Aziz Ki huku bao la pili likifungwa na Clement Mzize na kuisadia timu yao kuongoza katika kipindi cha kwanza kwa mbao 2-0.
Kipindi cha pili Yanga ilirudi ikiwa inahitaji mabao zaidi kwani ilikuwa inalisakama lango la mpinzani japokuwa hawakufanikiwa kuongeza mabao mengine mpaka dakika 90 mpira kumalizika matokeo yakiwa 2-0.
Yanga Sc sasa inaendelea kukaa kileleni mwa ligi ikiwa na pointi 71 wakiwa wameshuka dimbani mara 27 huku nafasi ya pili akiwa bado inashikwa na timu ya Simba ambao hapo jana walialzimishwa sare na Namungo Fc na kuwafanya wapinzani wao Yanga kukaribia ubingwa wa ligi hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK