Msanii Nini Achafua Hali ya HEWA "Huwezi Kufanya Kolabo na Msanii wa Kiume Bila Kukuomba Rushwa ya Ngono"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nini ambaye alikuwa chini ya lebo ya Free Nation inayomilikiwa na msanii Nay wa Mitego amefunguka kuwa anachukizwa na vitendo vinavyoendelea kwenye muziki wa Bongo Fleva.


Nini amesema hilo linatokana na ukweli kuwa mambo wanayoyapitia wasanii wengi wa kike ni aibu na yanakatisha tamaa kuendelea na shughuli za muziki hivyo anaona ni bora kuachana na muziki na akafanya shughuli nyingine.


"Jamani huu muziki Wa Bongo Fleva ulipofikia si pazuri sana hasa kwa sisi wasanii wa kike. Kuna muda natamani kuacha muziki kabisa.


"Yani huwezi kufanya kolabo na msanii wa kiume bila kukuomba rushwa ya ngono, nimechoka sasa na bila mapenzi ningekua mbali sana kimuziki yamechangia kushuka kwangu kwenye ubora wa muziki," ameongea Nini

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad