Baba Levo "Nilivuta Bangi Nikazima"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mtangazaji na chawa wa Diamond, Baba Levo amesimulia jinsi alivyowahi kuvuta bangi miaka ya nyuma na kujikuta amezima.


Baba Levo ameyasema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Jana na Leo ambapo alipokuwa akipiga soga ndipo akaeleza jambo hilo.


"Bangi sio nzuri mimi mwenyewe nilishawahi kuvuta, nilizima. Nilikuwa na washkaji nikazima, nimekuja kukaa sawa nikaenda nyumbani nikamkuta mama anapeta mchele ndipo nikawa nafurahi," alisema Baba Levo.


Baba Levo alisema aliyemshauri kuacha bangi alikuwa ni kaka yake

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad