BREAKING: Nabi apigwa Chini Kaizer Chiefs, Timu yakabidhiwa kwa huyu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

BREAKING: Nabi apigwa Chini Kaizer Chiefs, Timu yakabidhiwa kwa huyu

Klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika ya Kusini imemteua Molefi Ntseki kuwa kocha Mkuu wa klabu hiyo.


Kaizer Chiefs ilikuwa ikihusishwa kumtaka aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia Nsreddine Nabi.


Kwa utambulisho huo wa Molefi Ntseki kuwa Kocha wa Kaizer ni dhahiri kuwa Kocha Nabi bado yupo sokoni.


Swali ni je Nabi atarudi Bongo? itakuwa Klabu gani? Bashiri

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad