Ni kweli Yanga Inamuhitaji Mkude?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Ni kweli Yanga Inamuhitaji Mkude?

Baada ya Simba SC kutangaza kuachana na Kiungo wake wa muda mrefu, Jonas Mkude ambae amedumu Simba kwa zaidi ya miaka 10, amekuwa akitajwa kwenye vilabu mbalimbali hapa nchini ikiwemo, Singida Fountain Gate na Yanga Sc.

Kutajwa kwa Mkude kujiunga na Yanga na maandiko mengi yakimuhusisha kuwa ndiye mrithi wa Feisal Salum (Fei Toto) pale Yanga kumeibua maswali mengi zaidi.

Iwe ukweli au uongo kwenye Tetesi hizo, Je unadhani Yanga inahitaji huduma ya Jonas Mkude ?

Tuachie maoni yako

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad