AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Feisal Salum na Eng. Hersi |
KUHUSU KURUDI YANGA
“Mimi sina shida na Yanga, sina ugomvi na mashabiki/wanachama wa Yanga, hata hapa nilipo ni kwa sababu ya Yanga! Bahati mbaya wanaaminishwa mimi mbaya lakini mimi nawapenda kama wanavyonipenda!
“Mimi tatizo langu kubwa ni Rais wa timu [Eng. Hersi Said] ndio maana nilipokaanae chini nilimweleza kwamba naomba tumalizane ili kila mmoja aendelee na mambo yake ili na mimi niendelee na maisha yangu.”
“Kama Eng. Hersi Said akiondoka Yanga hata leo sasa hivi mimi nipo tayari kurudi Yanga. Sina tatizo na Yanga wala mashabiki, akiondoka Rais kwenye klabu mimi sasa hivi nafunga safari ya kurudi Yanga.”
- Feisal Salum via #PowerBreakFast @cloudsfmtz
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK