AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
FeisalSalum amesema "Nilikaa kwa Saa sita na Kiongozi wangu wa Yanga, alikuwa yeye na Makamu wake, nikamwambia waliyokuwa wakinitendea, akasema tusameheane, nikamwambia nimemsamehe lakini siwezi kubaki"
Akihojiwa na CloudsFM ameongeza "Shida yangu #Yanga ni manyanyaso si mshahara, nilisaini Mkataba wa Miaka miwili kumbe yeye Kiongozi aliongeza Mwaka mmoja bila ridhaa yangu, mkataba uliandikwa kwa Kiingereza"
Amesisitiza, "Fedha ya usajili tulikubaliana Tsh. Milioni 100 kwa pamoja, pia si kweli walinipa Fedha yote, nilipomaliza kusaini mkataba waliniingizia Tsh. Milioni 10 tofauti na tulivyokubaliana, ikaenda hivyo kupewa hela mpaka tugombane ndio wananipa kimafungumafungu"
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK