AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Staa wa muziki wa Bongo Fleva Harmonize amekamilisha kolabo na Staa Mkubwa Marekani Rapa Shmurda wa huko nchini Marekani
Harmonize amethibitisha hilo kupitia Instastory yake kwa kuandika "Kondeboy x Bobby Shmurda, nimependa huu wimbo"
Na kwa upande wa Shmurda ame repost ujumbe huo wa Harmonize kwenye Instastory yake na kuongezea maneno haya "Imenibidi nirudi kwenye asili yangu"
Neni moja kwa konde boy
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK