Harmonize Aamua Kuhamia Marekani Kimoja...Tanzania ni Kuja Kusalimia tu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Harmonize na mpango wa kuishi ughaibuni kusogeza mbele muziki wake.

Ana zaidi ya mwezi mmoja nje ya Tanzania staa wa muziki wa Bongo Fleva Harmonize anatajwa kuwa na mpango wa kuishi nchini Marekani kwa kipindi chote ambacho atafanya muziki wake

Taarifa kutoka kwenye chanzo cha kuaminika chenye ukaribu na staa huyo kimesema kuwa ni "Ni muda wa Harmonize kupambania muziki wake kimataifa zaidi. Anaamini ni ngumu kupenya kwenye soko la Marekani kama haupo ndani ya Marekani tena haswa kwa wasanii waliotoka kwenye jamii zinazozungumza lugha ngeni duniani"

Chanzo hicho kimeongeza kuwa "Harmonize atakuwa anakuja Tanzania kusalimia familia kisha atarudi Marekani ambapo anatajwa kutembelea studio mbalimbali za muziki na kukutana na mastaa/wadau mbalimbali wa muziki nchini humo"
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad