AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Juma Lokole kuhusu penzi la Diamond na Zuchu anasema kwannza nndio mapenzi yamekolea humuambii kitu Diamonnd kuhusu Zuchu kwa kifupi amekanyaga pambaya kimapennzi.
Anasema baada ya zile taarifa kusambaa kuwa Zuchu ameleta vurugu kwa Diamond zilikuwa za uongo kwani hakuna chochote kilichotokea na wala Zuchu hakuvunja TV yoyote kwa boss wake ambaye pia ni mpenzi wake.
Akiogea na @el_mando_tz Juma Lokole annasema kuwa kwa yale yalikuwa yanaendelea mtandaoni kati ya Diamond na Fantana Zuchu avumilie maana amependa na ile ni kazi tu cha muhimu hela iingie mfukoni.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK