Kauli ya TFF kuhusu Mayele na Saido kulingana na mabao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Kauli ya TFF kuhusu Mayele na Saido kulingana na mabao

"Suala la wachezaji wawili kufanana magoli ni jabo la kujivunia sana kwenye ligi yetu. Hilo ni suala la tuzo na kwetu masuala ya tuzo yanasimamaiwa na kamati ya tuzo za ligi kuu"


"Muda mfupi ujao taarifa rasmi itatoka kuhusu hilo na haitatoka kwetu bodi ya ligi bali itatoka kwa kamati ya tuzo, kwa sasa tufurahie ubora wa ligi yetu kuendelea kuwa na ushindani kiasi cha kutoa ushindani huu"


"Suala hilo la kufanana magoli ni moja ya maeneo ambayo hayajafafanuliwa na kanuni zetu na ni wakati sasa kwetu kukaa na pamoja na kupokea maoni ya wadau wote ili kupata kanuni bora" Karim Boimanda-Afisa habari bodi ya Ligi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad