AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mfanyabiashara maarufu wa Zanzibar na Mwanasiasa ambaye aliwahi kuwa Mwakilishi Jimbo la Uzini Mkoa wa Kusini Unguja, Mohamed Raza amefariki dunia leo wakati alipokuwa akipatiwa matibabu Hospitalini Jijini Dar es Salaam.
Taarifa za msiba huo zimethibitishwa na mmoja wa Wanafamilia aitwae Mohammed Ibrahim Raza ambapo maziko yatafanyika leo Kisutu Dar es salaam.
Itakumbukwa May 09,2023 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali alimtembelea Mohamed Raza baada ya kulazwa Hospitalini Jijini Dar es salaam.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK