AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia mahojiano aliyoyafanya na Bongo Five, msanii Baba Levo amemuasa Chino kuwa kama atakuwa anafurahi kushindanishwa na Diamond atakuwa anaingia kwenye kina kirefu cha maji ambacho hataweza kutoka tena na ndio atapotea kabisa.
Baba Levo amemtolea mfano Kontawa na kusema amepotea kwenye game baada ya kukubali wimbo wake utumike kumtukana Diamond, alipomshirikisha Harmonize aliharibu kabisa.
Ameongeza kuwa wasanii wachaga ni vyema kujiepusha na mambo ya kushindanishwa na wasanii wakubwa kwani wana mashabiki wengi, badala awatumie mashabiki wa wasanii hao ila wao wanakubali kushindanishwa na mtu kama Diamond.
baba Levo amedai kuwa kuna watu wanamtuma Chino yaani wapo nyuma yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK