AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Yanga haiwezi kumzuia @mayelefiston kuondoka iwapo ikitokea Club imeweka mzigo wa kutosha na yeye mwenyewe akiridhia kutaka kuuzwa, muhimu ikitokea hivyo Washabiki lazma tuunge mkono maamuzi hayo.
"Yes, Football ipo hivyo na tusisahau football ya sasa ni biashara kamili kama kuuza ndizi au dhahabu tu." Ameandika Haji Manara kwenye Ukurasa wake wa Instagram.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK