Sadio Mane afukuzwa Bayern Munich "Huna Msaada Kwenye Timu yetu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Uongozi wa klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani umemshauri nyota wao raia wa Senegal, Sadio Mane kuchunguza chaguzi za uhamisho.

Uongozi wa Bayern umethibitisha kwa sasa hauhitaji kumtegemea Msenegali huyo(kwa msimu ujao).


Mane alikuwa ameamua kuendelea na Bayern kabla ya yeye na uongozi wake kupewa taarifa hizo.

Mane ni miongoni mwa wachezaji wanaolipwa mishahara mikubwa katika klabu ya Bayern Munich.

Sadio Mane alijiunga na Bayern msimu wa joto wa 2022, na kusaini kandarasi ya miaka mitatu akitokea Klabu ya Liverpool alikocheza kwa mafanikio makubwa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad