Wilson Oruma: Robertinho hampendi Chama tangu siku ya kwanza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 



Wakati vuguvugu la kiungo wa Simba Clatous Chotta Chama likizidi kuchukua nafasi katika midomo ya wapenda soka nchini.

Mchambuzi wa Michezo kutoka EFM ametoa kauli inayoonesha kuwa Chama hatakiwi na mwalimu Robertinho katika kikosi cha Simba SC.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Oruma ameandika;

"Clatous chota Chama sio Kipenzi Cha ROBERTINHO tangu siku ya Kwanza

Na kwa hiki kinachoendelea yeye anatakiwa tu Kuomba usajili wa Kina Aubin Kramo Kouame usi Click.

Unasema Mkataba wako ulikuwa ni Mwaka Mmoja? Fine tuonyeshe,sisi tunao wa Miaka 2 na ni huu hapa. Simple hivyo."

Je Chama anaondoka ama unamuona anabaki, Tupe maoni yako

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad