AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Konge Gang Harmonize ameonesha mjengo wa Ghorofa ambao anamjengea mama yake mzazi. Harmonize ameanika mjengo huo kupitia ukurasa wake wa Instagram ambao bado haujakamilika.
Harmonize ameambatanisha Video ya mjengo huo na ujumbe huu hapa "Leo sijalewa nimefanya mambo ya msingi sana, hongera mama Konde sinywi tena mpaka nikumalizie kinyumba chako ya dunia ni mengi na walimwengu nao wanaomba Mungu. Muda mwingine nawaza mambo yakikaa vibaya nahamia kwako mama konde, sijalewa na sitolewa tena".
Leo August 15,2023 Harmonize alitangaza kuacha pombe ikiwa ni siku kadhaa zimepita toka afunguke sekeseke lililopelekea kuachana na aliyekuwa mchumba wake Kajala Masanja
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK