Harmonize atangaza "Nimeacha Pombe Rasmi, sinywi tena Mungu nisaidie"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Baada ya Pombe kumpeleka ndivyo sivyo mpaka kufikia hatua ya kutoa siri zake za Ndani alizopitia na mchumba wake Kajala staa wa muziki wa Bongo Fleva Harmonize atangaza kuacha pombe rasmi.

Harmonize ameweka wazi hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa kuandika kuwa "Natangaza rasmi nimeacha pombe sinywi tena, Mungu nisaidie". Moja kati ya matukio ya kukumbukwa wakati Harmonize anatumia pombe ni kuanika kila alichokipitia na mchumba wake Kajala mpaka kupelekea kuaachana kwao.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad