Matokeo Mshindi wa Tatu Azam na Singida Fountain Gate Leo, Ngao ya Jamii Haya Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Dakika 90’ za mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu zimemalizika kwa Azam FC kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Singida FG .

Kwa matokeo haya maana yake Singida wamecheza mechi mbili bila kupata bao ! Azam FC wamemaliza kwa uwiano sawa walifungwa 2-0 dhidi ya Yanga leo wameshinda 2-0 dhidi ya Singida .

Mchezo ujao ni Simba SC VS Yanga matangazo yatakuwa LIVE CloudsFM
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad