Matokeo Yanga SC vs KMC Leo 23 August 2023

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Matokeo Yanga SC vs KMC Leo 23 August 2023
 

Matokeo Yanga SC vs KMC Leo 23 August 2023


Yanga ambayo imeonyesha mpira wa kasi kwenye mechi tatu zilizopita, imekuwa maridadi pia katika gongagonga na kushambulia kupitia pembeni. Lakini KMC mpya ya Abdihamid Moallin imekuwa ikicheza soka la kuvutia na ina mabadiliko makubwa ya kiuchezaji ikianza na mechi iliyopita dhidi ya Namungo ugenini ilikolazimisha sare.

Yanga ambao ni mabingwa wa ligi mara 29, inaingia katika mchezo huu ikiwa na rekodi ya kulichukua taji hilo mara mbili mfululizo, huku mashabiki wake tangu juzi kwenye mitandao ya kijamii ya klabu hiyo wakikomenti kwa wingi wakimshinikiza Gamondi kumwanzisha Straika Mghana, Hafiz Konkoni ili wajue kama yaliyomo yamo tofauti na sasa anavyomchezesha dakika zisizozidi 10.

Timu hizi zinakutana huku zote zikiwa na makocha wapya na Yanga inaongozwa na Muargentina, Gamondi aliyechukua nafasi ya Nabi huku kwa KMC ikiongozwa na kocha wa zamani wa Azam FC, Moallin.

🏆 NBC Premier League

⚽️ Young Africans SC Vs KMC FC

📆 23.08.2023

🏟 Azam Complex, Chamazi

🕖 1:00 Usiku


MATOKEO YANGA Vs KMC

YANGA 5:0 KMC FC

Job

Musonda

Aziz

Konkoni

Pacome

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad