AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Matokeo Yanga SC vs KMC Leo 23 August 2023
Yanga ambao ni mabingwa wa ligi mara 29, inaingia katika mchezo huu ikiwa na rekodi ya kulichukua taji hilo mara mbili mfululizo, huku mashabiki wake tangu juzi kwenye mitandao ya kijamii ya klabu hiyo wakikomenti kwa wingi wakimshinikiza Gamondi kumwanzisha Straika Mghana, Hafiz Konkoni ili wajue kama yaliyomo yamo tofauti na sasa anavyomchezesha dakika zisizozidi 10.
Timu hizi zinakutana huku zote zikiwa na makocha wapya na Yanga inaongozwa na Muargentina, Gamondi aliyechukua nafasi ya Nabi huku kwa KMC ikiongozwa na kocha wa zamani wa Azam FC, Moallin.
🏆 NBC Premier League
⚽️ Young Africans SC Vs KMC FC
📆 23.08.2023
🏟 Azam Complex, Chamazi
🕖 1:00 Usiku
MATOKEO YANGA Vs KMC
YANGA 5:0 KMC FC
Job
Musonda
Aziz
Konkoni
Pacome
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK