AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Singida Fountain Gate Wachapwa Goli 2 na JKU Chamazi
Timu ya Singida Fountain Gate ‘The Big Stars’ imefanikiwa kwenda hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika licha ya kufungwa mabao 2-0 na JKU ya Zanzibar leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam.
Mabao ya JKU leo yamefungwa na Nassor Juma dakika ya saba na Gamba Matiko dakika ya 42 na kwa matokeo hayo Singida Big Stars inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-3 kufuatia kushinda 4-1 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita na sasa watamenyana na Future ya Misr
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK