Akamatwa Baada ya Kuua na Kuzika Watu 10 Jikoni Kwake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtu mmoja amekamatwa nchini Rwanda baada ya zaidi ya miili ya watu 10 kugunduliwa ikiwa imezikwa katika shimo lililokuwa limechimbwa ndani ya jiko la nyumba yake mjini Kigali nchini Rwanda.

Kwa mujibu wa polisi, mtuhumiwa mwenye umri wa miaka 34 anayeshukiwa kuwa muuaji, na inasemekana aliwachukua wahanga kutoka katika baa na kuwaleta hadi nyumbani kwake ambapo amepanga katika eneo la kitongoji cha Kigali.

Inaelezwa kuwa mshukiwa huyo awali alikamatwa mwezi Julai kwa tuhuma za wizi na ubakaji pamoja na makosa mengine, lakini alipewa dhamana kutokana na ukosefu wa ushahidi, kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya ndani.

Kwa mujibu wa chanzo hicho, mtuhumiwa huwalenga wale wasiokuwa na familia au marafiki wa karibu au wanaofanya biashara ya ngono na kuwapeleka nyumbani kwake kisha huwanyang’anya simu zao na mali na kuwakandamiza hadi kufa, na kisha huwazika katika shimo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad