AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ajali mbaya imetokea hapa maeneo ya Manyoni Mkoani Singida ikihusisha Magari matatu na Bodaboda moja ambapo watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa.
Mashuhuda wanamesema Basi la Kampuni ya Frester lenye namba za usajili T 194 DZU (Dar es Salaam - Kahama) lilikuwa likijaribu kulipita kwa (Overtake) gari la mafuta namba T 367 BZK na kugongana kwa pembeni na gari la tumbaku namba AFQ 6094 na mwishowe kuwaangukia waliokuwa kwenye Bodaboda.
Dereva wa basi hilo amekimbilia kusikojulikana, Jeshi la Polisi tayari limefika hapa kwa taratibu za kiusalama.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK