Dereva Bodaboda Afariki Baada ya Kugongwa na Basi la Mwendokasi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



DEREVA bodaboda leo Jumanne Septemba 12, 2023 asubuhi amefariki baada ya kugongwa na Basi la mwendokasi katika Makutano ya Mataa ya Lumumba na Barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam

Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam ambao watatoa taarifa kamili ya tukio hili hapo baadaye, wamethibitisha kifo cha Dereva huyo ambaye imeelezwa kuwa aliingia kwenye barabara hiyo maalum ya Mabasi hayo.

Kutokana na ajali hiyo baadhi ya gari yamelazimika kutafuta njia mbadala kuendelea na safari kutokana na ajali hiyo kufunga njia halisi ya mwendokasi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad