AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyota wa Simba SC Aubin Kramo amepata majeraha ya goti kwenye mchezo wa kirafiki hii leo dhidi ya Ngome FC mchezo ambao Simba waliibuka na ushindi wa mabao 6-0
Kramo alitolewa dakika ya 42 ya mchezo akimpisha Jean Baleke akiwa ameshafunga bao moja.
Mchezaji huyo ndio kwanza alikuwa anarudi kutoka katika majeraha ambayo yamemuweka nje tangu kuanza kwa msimu 2023/24.
Ni wakati Mgumu kwake, Get well soon Aubin!
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK