Mchambuzi "Mabeki Hawa Wazawa Ndio Wamelibeba Taifa Kufuzu AFCON"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Mchambuzi "Mabeki Hawa Wazawa Ndio Wamelibeba Taifa Kufuzu AFCON"

Mchambuzi wa Tv3, Boiboi Mkali amesema kuwa, ubora wa safu ya ulinzi ya Timu ya Taifa ya Tanzania ndiyo umesababisha kwa asilimia kubwa Taifa Stars kufuzu michuano ya fainali ya AFCON 2023 juzi dhidi ya Algeria.


Tanzania imefanikiwa kufuzu fainali za AFCON 2023 usiku wa juzi baada ya kitoa sare ya bila kufungana na Timu ya Taifa ya Algeria katika Dimba la May 19, nchini humo.


Matokeo hayo yalizifanya Algeria kufikisha alama 16 akiwa kinara wa kundi na Tanzania alama 8 katika nafasi ya pili, alama hizi hazingeweza kufikiwa na timu yoyote kwenye kundi hilo, hivyo Uganda na Niger wakaaga mashindano dakika za lala salama.


"Ubora wa safu ya ulinzi katika kikosi cha Timu ya Taifa Stars katika mchezo dhidi ya Algeria ndiyo umepelekea kwa nafasi kubwa kufuzu fainali zijazo za Afcon nchini Ivory Coast


"Mabeki watatu wa kati kwenye eneo la kujilinda, Ibrahim Bacca, Dickson Job na Bakari Mwanyeto walikuwa katika kiwango bora sana dhidi ya washambuliaji wa Algeri.


"Hii pia inatokana na ubora uliotengenezwa kwenye kikosi chao cha Yanga chini ya kocha Nabi," ameandika Mchambuzi wa TV3, Boiboi Mkali.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad