Simple Boy: Warembo wa Bongo Wananishobokea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Simple Boy: Warembo wa Bongo Wananishobokea


Mambo ni mengi muda mchache! Msanii wa Kenya, Stevo Simple Boy amedai kwamba warembo kutoka Tanzania wamefurika kwenye DMs zake baada ya kusikia kwamba ni mkali katika muziki wa kutema madini na hawezi ushindanishwa na rapa hata mmoja kutoka Tanzania.


"Vichuna wa Tanzania wamejaza DM yangu wanasema Stevo Simple Boy tafadhali chagua binti mmoja wetu awe mke wako. Nina uhakika sema sasa hivi sina bando ningewaonyesha. Wapo wengi,” alisema Stevo.


"Wanadada wenyewe tu ndio wananipenda kwa sababu mimi ni mtanashati, niko wa moto na mimi ni mtamu. Wanavutiwa na muonekano wangu lakini pia mimi najilinda,” alisema.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad