Spika wa Bunge, Dkt.Tulia Ackson Atoa Kauli "Sifurahishwi na Foleni za Mafuta Vituoni"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Spika wa Bunge, Dkt.Tulia Ackson Atoa Kauli "Sifurahishwi na Foleni za Mafuta Vituoni"


 Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson ameishauri Serikali kufanya tathmini maalumu ya mfumo mpya wa uagizaji mafuta unaotumika ili kuondoa kasoro na kama unapelekea changamoto zaidi basi ule wa zamani uboreshwe ili kuondokana na changamoto mbalimbali za mafuta zinazojitokeza kila mara.


Dkt. Tulia ametoa kauli hiyo kabla ya kusitisha shughuli za Bunge leo Septemba 07, 2023 Jijini Dodoma ambapo amesema sasa ni wakati muafaka wa Serikali kufanya tathmini hiyo kwa sababu hafurahishwi na uwepo wa foleni za mafuta kwa muda fulani na bei mpya inapotangazwa foleni hizo zinaondoka.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad