AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
TIMU ya taifa ya soka(Taifa Stars) leo inashuka dimbani dhidi ya Algeria katika mchezo wa mwisho kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2023.
Mchezo huo wa kundi F utafanyika kwenye uwanja wa 19 May 1956 uliopo mji wa Annaba Kaskazini Mashariki mwa Algeria huku Stars ikitakiwa kushinda ili kujihakikishia kufuzu.
Niger itaikaribisha Uganda katika mchezo mwingine wa kundi hilo kwenye uwanja wa Marrakech, Morocco.
Algeria inaongoza kundi F ikiwa na pointi 15 ikifuatiwa na Tanzania yenye pointi 7, Uganda ina pointi 4 wakati Niger iliyopo nafasi ya mwisho ina pointi 2.
Michezo mingine ya kufuzu fainali hizo ni kama ifuatavyo:
KUNDI E
Angola vs Madagascar
Ghana vs Jamhuri ya Afrika ya Kati
KUNDI J
Tunisia vs Botswana
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK