TANZIA: Watanzania Watano Wafariki Kwenye Jengo Lililoungua Moto Afrika Kusini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

TANZIA: Watanzania Watano Wafariki Kwenye Jengo Lililoungua Moto Afrika Kusini

Idadi imethibitishwa na Afisa wa Ubalozi Mwandamizi wa Tanzania Nchini humo, Peter Shija baada ya kutembelea eneo la tukio ambapo pia amesema wengine 3 wako Hospitali baada ya kupata Majeraha

Imedaiwa kuwa Jengo hilo lililokuwa chini ya Umiliki wa Jiji la Johannesburg, lilitelekezwa na kuanza kutumiwa Watu waliokosa makazi, wengi wao wakiwa Wahamiaji wasio na vibali

Kwa mujibu wa Afisa Ubalozi huyo, zaidi ya Watanzania 150 walikuwa wakiishi ndani ya Jengo hilo kabla ya kuteketea kwa moto ambao umesababisha vifo vya Watu zaidi ya 74

-

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad