Wachezaji wa Yanga Ambao Wamewasili Kambini Baada ya Majukumu ya Timu za Taifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Wachezaji wa Yanga Ambao Wamewasili Kambini Baada ya Majukumu ya Timu za Taifa

Kiungo wa Yanga Khalid Aucho ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa timu za Taifa ambao walirejea mazoezini jana kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kuwania kutinga makundi ya ligi ya mabingwa dhidi ya Al Merrikh


Aucho alitua juzi kutoka Niger ambako aliiongoza Uganda Cranes kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Niger

Ushindi ambao hata hivyo haukuisaidia Uganda kufuzu michuano ya Afcon 2023, Tanzania ikifuzu baada ya kumaliza nafasi ya pili juu ya Uganda katika kundi F

Aucho ni miongoni mwa nyota 11 wa Yanga ambao walikuwa kwenye majukumu ya timu za Taifa

Wachezaji tisa tayari wamerejea kambini huku Stephane Aziz Ki akitarajiwa kuwasili wakati wowote, mlinda lango Djigui Diarra huenda akachelewa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad