Yanga Imekuwa TIMU ya 3 Kwa Ubora Afrika, Fahamu Vigezo Vilivyotumika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Yanga Imekuwa TIMU ya 3 Kwa Ubora Afrika, Fahamu Vigezo Vilivyotumika

 Yanga Imekuwa TIMU ya 3 Kwa Ubora Afrika, Fahamu Vigezo Vilivyotumika

Shirikisho la kimataifa la kutunza Takwimu na Historia za mpira Duniani ‘IFFHS’ limetoa Orodha ya Timu 10 bora barani Afrika kwa mwaka mzima (kuanzia Septemba 1, 2022- Agosti 31, 2023).


Yanga imeshika nafasi ya 3 nyuma ya Al-Ahly na Wydad Casablanca.

Duniani Yanga ipo nafasi ya 63, juu ya Chelsea (72).


Vigezo vilivyotumika;


Al Ahly Cairo — 01

Champions league - Bingwa

Premier league - Bingwa


Wydad Casablanca — 02

Champions league - Fainali

Premier league - mshindi wa pili


Young Africans — 03

Premier league - Bingwa

Confederations cup - Fainali

FA cup - Bingwa


Pyramids — 04

Premier league - Mshindi wa pili

Confederation cup - Nusu fainali


Mamelodi Sundowns — 05

Premier league - Bingwa

Champions league - Nusu fainali


FAR Rabat — 06

Premier league - Bingwa

Confederation cup - Nusu fainali


Raja Casablanca — 07

Champions league - Nusu fainali

FA cup - Fainali


Zamalek — 08

Premier league - Mshindi wa pili

Champions league - 16 bora

FA cup - Bingwa


CR Belouzdad — 09

Premier league - Bingwa

Champions league - Nusu fainali


USM Alger — 10

Confederations cup - Bingwa


Kwa mujibu wa shirika hilo lenye makazi yake Nchini Switzerland hutoa alama kwa kuzingatia mashindano yote.


◉ Champions league

◉ Confederations cup

◉ Premier league

◉ FA cup.

Timu zilizofanya vizuri kwenye mashindano hayo kwa ujumla (sio shindano moja pekee) hu-score points nyingi zaidi. Pia ubora wa ligi husika huchangia alama kwa timu.

Kwa nini USM Alger amechukua kombe halafu akazidiwa na Yanga? Ni kwa kuwa kwenye mashindano mengine kama ligi kuu (8) & FA hakufanya vizuri, ndiyo maana amezidiwa.

Rank zimepangwa kwa kuzingatia alama zilizokusanywa kwa mwaka 1, kuanzia 1 Septemba 2022 hadi 31 Agosti 2023.

Unafiki unakuja vipi?

Hawa IFFHS walivyotoa takwimu hapo nyuma walisifiwa sana na baadhi ya wachambuzi na mashabiki, cha ajabu wachambuzi walewale waliozisifu takwimu zao wakati ule leo hii wanazikosoa.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad