AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Haya Hapa Matokeo ya Mtibwa Sugar na Singida Fountain Gate FC Ligi Kuu
MTIBWA BADO INAJITAFUTA
Mtibwa Sugar imepoteza mchezo wa Ligi Kuu nyumbani baada ya kufungwa 1-0 na Singida Fountain Gate FC, ni kama Mtibwa bado haijajipata hivi kwa sababu bado haijapata ushindi katika michezo minne iliyopita ya Ligi Kuu.
Licha ya ushindi ilioupata Singida Fountain Gate FC leo mbele ya Mtibwa Sugar, lakini wamehenya sana!
FT| MTIBWA SUGAR 0-1 SINGIDA FOUNTAIN GATE
⚽️ Elvis Rupia 43’
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK