Mashabiki Wamchangia Ally Kamwe Milioni 1 ya Faini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Mashabiki Wamchangia Ally Kamwe Milioni 1 ya Faini

Ni masaa machache tangu Bodi ya ‘Ligi’ Tanzania kumpiga ‘faini’ ya tsh 1 milioni , Afisa Habari wa ‘Klabu’ ya Yanga, Ally Kamwe kwa kosa la kumkejeri mwamuzi Tatu Malogo, Kamwe ameweka wazi kuwa ameshachangiwa pesa hiyo na mashabiki.


Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Ally Kamwe ameweka wazi kuhusu taarifa hiyo kwa kuwashukuru mashabiki wa Yanga kwa mahaba waliyomuonesha ya kumchangia kupitia ‘kampeni’ iliyoendeshwa na shabiki Jimmy Kimdoki ili kumuwezesha kulipa ‘faini’ hiyo kwa wakati na kuendelea na majukumu yake.


Aidha Kamwe ameeleza kuwa amepokea adhabu hiyo kama njia ya Mungu kutaka kuzungumza naye, kwani kupitia adhabu hiyo ameona, kusikia na kujifunza mengi, kikubwa ameuona upendo wa dhati wa mashabiki wa Yanga kwake na amewashukuru kwa kuweza kumchangia kiasi hicho cha pesa.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad